Advertise here.

unatangazo? weka hapa

Tuesday 10 December 2013

Miaka 52 ya uhuru

Ni kwa mda wa miaka 52, Tanzania imekuwa ikisherehekea sherehe za ukombozi (uhuru) Tusibaki kula fungate na hatuoni matunda ya uhuru. Kama Mwalimu na Mashujaa wetu wangelifikiria kula fungate kama tufanyavyo sidhani kama tungelifika.. Sipendi kuongea sana lakini naomba mchango wenu wa Tanzania

PRONS DJ D69

PRONS DJ D69
THE PRIDE OF TANZANIA

BLOGGERS

BLOGGERS